Napenda kutoa pongezi kwa waliochaguliwa awamu hii ya kwanza (round 1).
Lakini kwa wengine ambao hatujapata nafasi bado kuna nafasi ikiwemo round two na three. Chamsingi angalia yafuatayo.
1. vigezo gani vinahitajika katika kozi husika.
2.ufaulu wako
3.baadhi ya vyuo kama UDSM vina ushindani mkubwa. Kwa sasa angalia kuna vyuo vingine na vizuri ila wati hawaombi ikiwemo NIT, TIA, DIT, SAUT, IFM na vingine vingi.
4.baadhi ya kozi tayari zmejaa kwahiyo usirudie kuomba tena hutapata nafasi omba zenye nafasi.
KWA WENYE MULTIPLE SELECTION.
kama umepata codes hakikisha unaconfirm mapema katika chuo pendwa.
Kuna wale wasioridhika na vyuo walivyochaguliwa. Unaweza kuomba tena lakini hii huwa inakuja kuleta shida ya mkopo kwa baadae. Hapo utakutana na matatizo ya mis-allocation. Upo UDSM na mkopo wako uko SUA.
kuepuka hilo nenda tu chuo ulichochaguliwa kwa kuwa uliomba kumaanisha ulikipenda.
KARIBUNI SANA VYUONI.
Kwa msaada zaidi juu ya
1. Namna ya kuconfirm baada ya kupata codes kutoka TCU.
2. Kufanya maombi ya chuo kwa walikosa.
3.waliosahahu nyirwa (password)
4.kuangalia majibu yani selection.
5. Na kwa matatizo yoyote juu ya udahili
Wasiliana nasi sms/call/ whatsapp 0765773652.
Email: noelamos21@gmail.com.
mpyachuoni
Search This Blog
Thursday, August 22, 2019
Wednesday, June 5, 2019
UCHAGUZI DARUSO.๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ HAYA NDIO ALIYOYASEMA MGEMBEA UENYEKITI BLOCK E MABIBO
NDUGU ZANGU NAITWA *MATHAYO KIPONGI* NI MGOMBEA WA BLOCK E MABIBO NAFASI YA MWENYEKITI.๐
✍๐พNatanguliza shukurani zangu kwa Mungu๐๐๐
ndugu zangu wakazi wa Block E ninaombeni ridhaa yenu ya kuwawakilisha na kuwatatulia matatizo mbalimbali yanayo tukumba sotee.
Nitakuwa muanibikaji wa yafuatayo.
*1. USAFII*
๐huu utafanyika kwa muda ili kupisha wanafunzi wakati wa kujiandaa na shule
๐utafanyika kila kona ya block kwa ustadii wa juu✅๐๐
*2.UKARABATI*
๐vyoo
-bafu
-viti
- soket
-Taa
-sakafu N.K
*3.ULINZI NA USALAMA*
๐kuweza kubadili vitasa
๐kuonyesha sehemu elekezii kwa kuhifadhi vifaa vyako vya gharama kama laptop pindi unaenda sehemu
๐kuweka vikao ili kugundua mbinu nyingi za kuepuka๐
*4.UMOJA NA USHIRIKIANO*
๐hili ni jambo la vitabu vitakatifu hivyo nitahakiki ushirikiano utakuepo
-kwa kuanzisha group la pamoja kama hili.
- kuweka sanduku la maoni✅๐๐
*5.KUTATUA USUMBUFU WA AUXILIARY POLICE KWA WANABLOCK*
-kuwasumbua watu wakianika nguo zao
- kuwarubuni watu na kutaka rushwa ya fedha (ikikukuta naomba usitoe hata mia unitafute ntakusaidia)
*6.UMEME*
*7.USAMBAZAJI WA MAJI KATIKA KILA FLOOR*
- hii ni kwa floor zote 3. kwani kumekua maranyingi hawa washii mota za kupandisha majii kwa kuwepo na ubovu wa taps za majii hivyo nitalishughulikiaa๐๐๐๐๐๐๐
*MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO*
*CHAIRPERSON CHAIRPERSON CHAIRPERSON BLOCK E*✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅๐๐๐๐
✍๐พNatanguliza shukurani zangu kwa Mungu๐๐๐
ndugu zangu wakazi wa Block E ninaombeni ridhaa yenu ya kuwawakilisha na kuwatatulia matatizo mbalimbali yanayo tukumba sotee.
Nitakuwa muanibikaji wa yafuatayo.
*1. USAFII*
๐huu utafanyika kwa muda ili kupisha wanafunzi wakati wa kujiandaa na shule
๐utafanyika kila kona ya block kwa ustadii wa juu✅๐๐
*2.UKARABATI*
๐vyoo
-bafu
-viti
- soket
-Taa
-sakafu N.K
*3.ULINZI NA USALAMA*
๐kuweza kubadili vitasa
๐kuonyesha sehemu elekezii kwa kuhifadhi vifaa vyako vya gharama kama laptop pindi unaenda sehemu
๐kuweka vikao ili kugundua mbinu nyingi za kuepuka๐
*4.UMOJA NA USHIRIKIANO*
๐hili ni jambo la vitabu vitakatifu hivyo nitahakiki ushirikiano utakuepo
-kwa kuanzisha group la pamoja kama hili.
- kuweka sanduku la maoni✅๐๐
*5.KUTATUA USUMBUFU WA AUXILIARY POLICE KWA WANABLOCK*
-kuwasumbua watu wakianika nguo zao
- kuwarubuni watu na kutaka rushwa ya fedha (ikikukuta naomba usitoe hata mia unitafute ntakusaidia)
*6.UMEME*
*7.USAMBAZAJI WA MAJI KATIKA KILA FLOOR*
- hii ni kwa floor zote 3. kwani kumekua maranyingi hawa washii mota za kupandisha majii kwa kuwepo na ubovu wa taps za majii hivyo nitalishughulikiaa๐๐๐๐๐๐๐
*MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO MATHAYO*
*CHAIRPERSON CHAIRPERSON CHAIRPERSON BLOCK E*✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅✅๐๐๐๐
Friday, April 5, 2019
INTERCOLLEGE COMPETITION TO BEGIN
Kesho CONAS itakua ikichuana vikali na COSSpande za campus mida ya saa 3:30
Wenyeviti wa college hizo mbili wametambiana vikali juu ya ubora wa timu zao na kila mmoja akimwahidi mwenzie kurudi na ushindi.
Lakini pia wametumia fursa hiyo kuhimiza uwepo wako wewe kama shabiki mkuu wa college yako...kufika bila kukosa kwenye mtanange huu mkali wa kukata na shoka.
Ni katika viwanja vya mabibo.
Anza weekend yako na burudani murua kabisa.
Kindly share.....
Kuendelea kufatilia mtanange huu pamoja na taarifa nyinginezo nyingi kuhusu chuo chetu usiache kutembelea blogu hii www.mpyachuoni.blogspot.com/
Thursday, April 4, 2019
TAARIFA MUHIMU KUHUSU BIMA.
New. New New New New
*TANGAZO KUHUSU UGAWAJI WA BIMA ZA AFYA*
Kesho Ijumaa tarehe 05/04/2019 kutakuwa na zoezi la ugawaji wa bima za afya kwa WanaCoHU.
*Zoezi hilo litafanyika ofisi ya waziri mkuu hall 6 kuanzia saa nne asubuhi mpaka saa nane kamili mchana*
Tunasisitiza sana kwa wote mwaka wa kwanza na wengine ambao hawajapata bima zao kujitokeza bila kukosa ili kuepuka usumbufu.
Kindly share
Tuesday, April 2, 2019
TANGAZO MUHIMU KWA WANA COSS ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Sasa CoSS ni ruhsaaa kusaini boom/ada na ID za zamani.
๐ค
Imetolewa na mwenyekiti wa college ya COSS mapema leo
๐ค
Imetolewa na mwenyekiti wa college ya COSS mapema leo
Monday, April 1, 2019
HAYA HAPA MAKUNDI YA INTER COLLEGE COMPETITION UDSM
*MAKUNDI YA INTER COLLEGE COMPETITION UDSM⚽*
NEW .....NEW.....NEW.....NEW
KUNDI A.
1.COSS 2.CONAS 3.SJMC
*KUNDI B*
1.COICT 2.COET 3.UDSOL
*KUNDI C*
1.Mabingwa Watetezi(COHU) 2.UDBS 3.IDS
*KUNDI D*
1.SOED 2.IKS .COAF.
๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ๐ฅ
Kindly share
Sunday, March 31, 2019
NI MTANANGE MKALI BAINA YA COSS NA COHU MDAA NDO HUU .....NJOO MABIBO USHUHUDIE
zikiwa zimebakia dakika chache mpira kuanza una karibishwa kushangilia college yako.....iwe ni COSS wababe wa UDSM au COHU wale BAED....
USISUBIRI KUADITHIWA
Subscribe to:
Posts (Atom)